Mark 2:12

12 aYule mtu aliyekuwa amepooza akasimama, akachukua mkeka wake, akatembea machoni pao wote! Jambo hili likawashangaza wote, wakamtukuza Mungu, wakisema, “Hatujapata kuona jambo kama hili kamwe!”

Isa Amwita Lawi

(Mathayo 9:9-13; Luka 5:27-32)

Copyright information for SwhKC